21 February 2011

washiriki wa miss Utalii Taifa 2011 ndani ya arusha, Snow Crest Hotel kati kati presder Chipungahelo Gidion na Mussa Juma.

kassim bado yupo vizuri

Kasimu Mganga alikuwepo , hapa akiwarusha washiriki wa miss Utalii Arusha. katika shoo iliyofanyika Snowcrest Hotel na kudhaminiwa na TBL kupitia REDDs.
hawa walitangazwa kupendeza sana: kulia ni meneja wa Snowcrest kulia ni mkurugenzi ms unique akiwatangaza washindi

mambo ya mjini

mambo ya mjini Mhhhhhhh.
Zawadi ni Zawadi, Meneja matukio wa TBL Kanda ya Kaskazini Mashariki, George Mwombeki akimkabidhi zawadi Filex Mallah na mkewe , wa kwanza kulia mkurugenzi kampuni ya Ms Unique Mussa juma.
msanii wa kundi la boda to boda la Arusha akifaya vitu vyake katika shoo jijini Arusha, hotel ya Snow Crest iliyodhaminiwa na kampuni ya bia nchini TBL  kupitia kinywaji cha REDDs onyesho hili liliandaliwa na kampuni ya Ms Unique

12 January 2011

ibada ya waliouawa na polisi

ibada ya kuwaaga waliouawa kwa kupigwa risasi na polisi Arusha, hapa ni viongozi wa chadema, maaskofu na masheikh. leo.

maelf wajitokeza uwanja wa NMC kuwaaga waliuawa kwa risasi Arusha

maelfu ya watu walivyojitokeza Arusha kuwaaga waliuawa na polisi kwenye maandamano ya chadema ya januari 5 2011.

safari ya mwisho ya makamanda Arusha

pichani ni Mwenyekiti wa chadema, Freeman Mbowe pamoja na mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema wakiwa wamebeba mwili wa Ismail Omar aliyeuawa kwa kupigwa risasi maandamano ya chadema ya januari 5 mjini Arusha.

06 January 2011

maandamano ya chadema Arusha kabla ya kusambaratishwa na polisi, watu watatu waliuawa kwa risasi

watuhumiwa wa maandamano wakisomewa mashitaka katika hospitali ya mkoa ya mount meru jana
  1. kijana akiwa hoi kwa kipigo na polisi katika vurugu za maandamano ya chadema juzi
the media which a visit every day is mwananchi ,outside the count
pole mchumba wa Dk slaa, hapa akipanda kwenye gari kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha na amefunguliwa kesi tayari
hii ndio siasa naamini josephine Mushumbuzi mchumba wa Dk Slaa ameonja, hapa kapigwa na polisi katika vurugu za maandamano juzi mjini Arusha

17 December 2010

 Nenda hifadhi ya Mahale ushuhudie haya;
Nenda mahale ukaone sokwe hawa. picha zaidi za ziara ya wanahabari katika ziara ya hifadhi 14 za Taifa  zaja  tembelea blog hii
unawajua sokwe mtu, ndio huyu nyuma ya mussa juma, ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mahale mkoani kigoma tembelea ujioneaa
pichani ni baadhi ya wanahabari wakiwa ndani ya boti katika ziwa Tanganyika wakiwa katika kazi ya kuhamasisha utalii wa ndani.
the media which a visit every day is mwananchi ,outside the count