20 September 2012

Maoni Katiba.

Makamu Mwenyekiti wa tume ya kukusanya maoni ya Katiba: Jaji Mkuu mstaafu, Agostino Ramadhani akiwa kazini  mkoani Manyara
Maoni Katiba.

Makamu mwenyekiti wa Tume ya kukusanya maoni ya Katiba Jaji Mkuu mstaafu Augostino Ramadhani akikusanya maoni ya Katiba wilayani Simanjiro.


wachimbaji wadogo Mererani, kati kati ni mchimbaji Lengai Ole Makoo katika mkutano wa maoni ya Katiba Simanjiro
Waziri wa ujenzi: John Magufuli akisalimia na wajumbe wa bodi ya Barabara nchini.

je wadau, jamaa huyu akiwa Rais au waziri Mkuu itakuwaje?
msaada wa fedha :
Mkurugenzi wa kampuni ya MS Unique Mussa Juma akipokea msaada wa sh 1.5 milioni toka kwa meneja  masoko wa kampuni ya Megatrade- Gudluck Kwai kwa ajili ya udhamini wa bonanza la waandishi wa habari mkoa wa Arusha.

Kupanda Mlima Kilimanjaro yahitaji Moyo- hapa nipo kileleni mwa mlima Kilimanjaro hivi karibuni

31 October 2011

19 October 2011

mapigano ya kikabila

mmoja ya waliouawa mapigano ya kibalila
mauwaji ya kikabila Loliondo huyu ni mzee wa kimasai ambaye alipigwa risasi
mauwaji ya vita vya kikabila baina ya masai na wasonjo- Loliondo

20 March 2011

babu ambilikile yupo bz na dawa zake

Mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwasapile akiwa kazini akiandaa dawa yake kabla ya kuwapa   wagonjwa

Kwa babu Loliondo hata masai na wasonjo wanafuata dawa

foleni kwa babu hata masai na wasonjo wanataka dawa

mti wa dawa ya babu loliondo

mti wa mungamuryogo au mugariga ambao unatumiwa na mchungaji msaafu Ambilikile Mwasapile anautumia kutibu magonjwa sugu huko samunge  loliondo wilaya ya Ngorongoro.

17 March 2011

wagonjwa wakifikishwa kwa babu Samunge wakiwa katika machela

wagonjwa ndani ya machela kwa babu loliondo

mwandishi nimepona VVU

nasema nimepona VVU, haya ni maneno ya Mjane, vilia John alipokuwa anahojiwa na mwandishi mussa juma kijiji cha Samunge machi 13 mwaka huu

nimepona ukimwi

Vilia John mkazi wa Samunge Loliondo wilaya ya Ngorongoro akieleza kupona VVU baada ya kutumia dawa za mchungaji ambilikile

huyu kapona ukimwi- mchungaji ambilikile

mchungaji Ambilikile mwasapie akimtambulisha mgonjwa wake wa kwanza kumtibu ugonjwa wa ukimwi, vilia John katika kanisa la KKKT usharika wa sonjo,  mach 13 mwaka huu.