05 December 2010

VITA dhidi ya UKIMWI na wanahabari

 pichani ni waliokaa kwenye viti ni mbunge jimbo la Arusha,chadema Godbless Lema akiwa na mbunge chadema viti maalum mkoa Arusha ,Joyce Mukya,   meneja wa PSI mkoa wa Arusha na Manyara, Chris Mbajo, mratibu wa TACAIDS mkoa wa Arusha na  Mkurugenzi wa  kampuni ya Ms Unique Mussa juma   na mratibu wa semina Upendo Simwita ,picha hii ilipigwa  mara baada ya kufunguliwa  na Lema semina ya waandishi wa habari mkoa wa Arusha kuhusiana na ugonjwa wa UKIMWI semina hiyo iliandaliwa na kampuni ya ms unique promotion  ya Arusha