05 March 2014

wanafunzi IIburu wakiwa maabara

Haki ya kumiliki ardhi kwa wafugaji bado ni tatizo nchini hapa nyumba za wafugaji zikiwa zimechomwa moto wilayani Kiteto
jitihada za kuhitaji watalii tz zagusa falme za kiarabu.
Safari ya Matumaini imeanza ni muhimu kuhesabiwa:mwenyekiti CCM mkoa wa Arusha Onesmo Ole Nangole
Shida ya maji kiteto:hata maji ya kikombe ni muhimu
Taswa yapata viongozi wapya: waliokaa kati kati Mwenyekiti, Juma Pinto,kushoto Katibu msaidizi, Grace Hoka na Mweka Hazina, Shija Richard, kulia ni Katibu Mkuu, Amir Mhando na Mweka hazina msaidizi Zena Chande, waliosimama ni  wajumbe kamati Utendaji, Chacha Maginge, Mroki Mroki,Ibrahim Bakari, Mussa Juma, Leura Nyaulama na Mwani Nyanga.