20 March 2011

babu ambilikile yupo bz na dawa zake

Mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwasapile akiwa kazini akiandaa dawa yake kabla ya kuwapa   wagonjwa

Kwa babu Loliondo hata masai na wasonjo wanafuata dawa

foleni kwa babu hata masai na wasonjo wanataka dawa

mti wa dawa ya babu loliondo

mti wa mungamuryogo au mugariga ambao unatumiwa na mchungaji msaafu Ambilikile Mwasapile anautumia kutibu magonjwa sugu huko samunge  loliondo wilaya ya Ngorongoro.

17 March 2011

wagonjwa wakifikishwa kwa babu Samunge wakiwa katika machela

wagonjwa ndani ya machela kwa babu loliondo

mwandishi nimepona VVU

nasema nimepona VVU, haya ni maneno ya Mjane, vilia John alipokuwa anahojiwa na mwandishi mussa juma kijiji cha Samunge machi 13 mwaka huu

nimepona ukimwi

Vilia John mkazi wa Samunge Loliondo wilaya ya Ngorongoro akieleza kupona VVU baada ya kutumia dawa za mchungaji ambilikile

huyu kapona ukimwi- mchungaji ambilikile

mchungaji Ambilikile mwasapie akimtambulisha mgonjwa wake wa kwanza kumtibu ugonjwa wa ukimwi, vilia John katika kanisa la KKKT usharika wa sonjo,  mach 13 mwaka huu.

hata Toyo zinafika kwa babu

nani kasema pikipiki za Toyo hazifiki kwa babu Loliondo, vijana hawa wametembelea km 305  toka arusha hadi kijiji cha Samungu Loliondo kunywa dawa

kunyweni dawa FFU

FFU akigawa kikombe kwa babu loliondo

mambo ya kwa babu Loliondo FFU akisaidia mgonjwa kupata kikombr

the media which a visit every day is mwananchi ,outside the count

07 March 2011

the media which a visit every day is mwananchi ,outside the count