arusha leo
kwa habari na matukio moto moto kila siku
20 March 2011
babu ambilikile yupo bz na dawa zake
Mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwasapile akiwa kazini akiandaa dawa yake kabla ya kuwapa wagonjwa
Kwa babu Loliondo hata masai na wasonjo wanafuata dawa
foleni kwa babu hata masai na wasonjo wanataka dawa
mti wa dawa ya babu loliondo
mti wa mungamuryogo au mugariga ambao unatumiwa na mchungaji msaafu Ambilikile Mwasapile anautumia kutibu magonjwa sugu huko samunge loliondo wilaya ya Ngorongoro.
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)