20 March 2011

babu ambilikile yupo bz na dawa zake

Mchungaji mstaafu, Ambilikile Mwasapile akiwa kazini akiandaa dawa yake kabla ya kuwapa   wagonjwa

Kwa babu Loliondo hata masai na wasonjo wanafuata dawa

foleni kwa babu hata masai na wasonjo wanataka dawa

mti wa dawa ya babu loliondo

mti wa mungamuryogo au mugariga ambao unatumiwa na mchungaji msaafu Ambilikile Mwasapile anautumia kutibu magonjwa sugu huko samunge  loliondo wilaya ya Ngorongoro.