12 January 2011

ibada ya waliouawa na polisi

ibada ya kuwaaga waliouawa kwa kupigwa risasi na polisi Arusha, hapa ni viongozi wa chadema, maaskofu na masheikh. leo.

maelf wajitokeza uwanja wa NMC kuwaaga waliuawa kwa risasi Arusha

maelfu ya watu walivyojitokeza Arusha kuwaaga waliuawa na polisi kwenye maandamano ya chadema ya januari 5 2011.

safari ya mwisho ya makamanda Arusha

pichani ni Mwenyekiti wa chadema, Freeman Mbowe pamoja na mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema wakiwa wamebeba mwili wa Ismail Omar aliyeuawa kwa kupigwa risasi maandamano ya chadema ya januari 5 mjini Arusha.