arusha leo
kwa habari na matukio moto moto kila siku
06 January 2011
maandamano ya chadema Arusha kabla ya kusambaratishwa na polisi, watu watatu waliuawa kwa risasi
mwenyekiti wa chadema freeman mbowe akiingia Arusha kabla ya maandamano
watuhumiwa wa maandamano wakisomewa mashitaka katika hospitali ya mkoa ya mount meru jana
ki
kijana akiwa hoi kwa kipigo na polisi katika vurugu za maandamano ya chadema juzi
the media which a visit every day is mwananchi ,outside the count
mbunge viti maalum wa chadema mkoa wa kilimanjaro,Lucy owenya akipaya kipigo cha polisi
pole mchumba wa Dk slaa, hapa akipanda kwenye gari kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha na amefunguliwa kesi tayari
hii ndio siasa naamini josephine Mushumbuzi mchumba wa Dk Slaa ameonja, hapa kapigwa na polisi katika vurugu za maandamano juzi mjini Arusha
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)