06 January 2011

maandamano ya chadema Arusha kabla ya kusambaratishwa na polisi, watu watatu waliuawa kwa risasi

watuhumiwa wa maandamano wakisomewa mashitaka katika hospitali ya mkoa ya mount meru jana
  1. kijana akiwa hoi kwa kipigo na polisi katika vurugu za maandamano ya chadema juzi
the media which a visit every day is mwananchi ,outside the count
pole mchumba wa Dk slaa, hapa akipanda kwenye gari kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha na amefunguliwa kesi tayari
hii ndio siasa naamini josephine Mushumbuzi mchumba wa Dk Slaa ameonja, hapa kapigwa na polisi katika vurugu za maandamano juzi mjini Arusha