Pichani wa wafuasi wa Chadema wakisindikiza gari la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema mara baada ya kutoka mahakamani kusikiliza rufani yake.
wafuasi wa chadema:
Mahakamani hii ni baada ya kusogezwa mbele kusikilizwa rufani ya kupinga kuvuliwa ubunge mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema