Kasimu Mganga alikuwepo , hapa akiwarusha washiriki wa miss Utalii Arusha. katika shoo iliyofanyika Snowcrest Hotel na kudhaminiwa na TBL kupitia REDDs.
hawa walitangazwa kupendeza sana: kulia ni meneja wa Snowcrest kulia ni mkurugenzi ms unique akiwatangaza washindi
Zawadi ni Zawadi, Meneja matukio wa TBL Kanda ya Kaskazini Mashariki, George Mwombeki akimkabidhi zawadi Filex Mallah na mkewe , wa kwanza kulia mkurugenzi kampuni ya Ms Unique Mussa juma.
msanii wa kundi la boda to boda la Arusha akifaya vitu vyake katika shoo jijini Arusha, hotel ya Snow Crest iliyodhaminiwa na kampuni ya bia nchini TBL kupitia kinywaji cha REDDs onyesho hili liliandaliwa na kampuni ya Ms Unique