19 November 2010

biashara ya matunda

soko la matunda yanayozalishwa nchini bado ni tatizo je tatizo ni  nini

Dk Slaa na kura zake

Aliyekuwa mgombea urais wa chadema, Dk Wilbroad Slaa akipiga kura--- Je na kura yake hii ilichakachukuliwa Karatu.

vijana wa CCM hawataki viongozi wa ccm wilaya arusha

 pichani ni baadhi ya vijana wa CCM wilaya ya arusha wakiandamana kutowataka viongozi wa CCM wilaya ya Arusha kwa tuhuma za kumuhujumu aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Arusha Dk Batilda Burian ambaye alishindwa na mgombea wa chadema  Godbless Lema.

mfanyabiashara wa ndizi mto wa mbu

Bibi huyu ni mfanyabiashara wa ndizi katika mji wa mto wa mbu wilayani Monduli- jimbo la aliyekuwa waziri mkuu Edward Lowassa

watafiti wa simba Serengeti

watafiti wa simba Serengeti wanajua simba huyu alipo?

barabara ya kutoka serengeti kwenda msoma mjini

huu ndio usafiri wetu barabara hii kuna askari trafik

siasa za karatu ndio hizi

 JK alipofika karatu  kwenye kampeni, alipokelewa na mamia ya vijana wakiwa wamevaa fulana za CCM, wengi hawakuelewa na kuna magazeti yaliandika JK avunja ngome ya chadema karatu, ila hapa ni vijana wale wale wakiwa katika maandamano ya kumpongeza mbunge mteule wa chadema karatu, mchungaji Israel Yohana Natse.

wanyama waongezeka serengeti

 tembelea hifadhi na uone haya hapa ni ndani ya hifadhi ya serengeti