19 November 2010

vijana wa CCM hawataki viongozi wa ccm wilaya arusha

 pichani ni baadhi ya vijana wa CCM wilaya ya arusha wakiandamana kutowataka viongozi wa CCM wilaya ya Arusha kwa tuhuma za kumuhujumu aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Arusha Dk Batilda Burian ambaye alishindwa na mgombea wa chadema  Godbless Lema.

No comments:

Post a Comment