31 October 2011
19 October 2011
20 March 2011
mti wa dawa ya babu loliondo
mti wa mungamuryogo au mugariga ambao unatumiwa na mchungaji msaafu Ambilikile Mwasapile anautumia kutibu magonjwa sugu huko samunge loliondo wilaya ya Ngorongoro.
17 March 2011
mwandishi nimepona VVU
nasema nimepona VVU, haya ni maneno ya Mjane, vilia John alipokuwa anahojiwa na mwandishi mussa juma kijiji cha Samunge machi 13 mwaka huu
nimepona ukimwi
Vilia John mkazi wa Samunge Loliondo wilaya ya Ngorongoro akieleza kupona VVU baada ya kutumia dawa za mchungaji ambilikile
huyu kapona ukimwi- mchungaji ambilikile
mchungaji Ambilikile mwasapie akimtambulisha mgonjwa wake wa kwanza kumtibu ugonjwa wa ukimwi, vilia John katika kanisa la KKKT usharika wa sonjo, mach 13 mwaka huu.
hata Toyo zinafika kwa babu
nani kasema pikipiki za Toyo hazifiki kwa babu Loliondo, vijana hawa wametembelea km 305 toka arusha hadi kijiji cha Samungu Loliondo kunywa dawa
21 February 2011
kassim bado yupo vizuri
Kasimu Mganga alikuwepo , hapa akiwarusha washiriki wa miss Utalii Arusha. katika shoo iliyofanyika Snowcrest Hotel na kudhaminiwa na TBL kupitia REDDs.
12 January 2011
ibada ya waliouawa na polisi
ibada ya kuwaaga waliouawa kwa kupigwa risasi na polisi Arusha, hapa ni viongozi wa chadema, maaskofu na masheikh. leo.
maelf wajitokeza uwanja wa NMC kuwaaga waliuawa kwa risasi Arusha
maelfu ya watu walivyojitokeza Arusha kuwaaga waliuawa na polisi kwenye maandamano ya chadema ya januari 5 2011.
safari ya mwisho ya makamanda Arusha
pichani ni Mwenyekiti wa chadema, Freeman Mbowe pamoja na mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema wakiwa wamebeba mwili wa Ismail Omar aliyeuawa kwa kupigwa risasi maandamano ya chadema ya januari 5 mjini Arusha.
06 January 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)