12 January 2011

safari ya mwisho ya makamanda Arusha

pichani ni Mwenyekiti wa chadema, Freeman Mbowe pamoja na mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema wakiwa wamebeba mwili wa Ismail Omar aliyeuawa kwa kupigwa risasi maandamano ya chadema ya januari 5 mjini Arusha.

No comments:

Post a Comment