05 March 2014

Taswa yapata viongozi wapya: waliokaa kati kati Mwenyekiti, Juma Pinto,kushoto Katibu msaidizi, Grace Hoka na Mweka Hazina, Shija Richard, kulia ni Katibu Mkuu, Amir Mhando na Mweka hazina msaidizi Zena Chande, waliosimama ni  wajumbe kamati Utendaji, Chacha Maginge, Mroki Mroki,Ibrahim Bakari, Mussa Juma, Leura Nyaulama na Mwani Nyanga.

No comments:

Post a Comment