01 February 2014

kamanda wa polisi mkoa wa Manyara, Akili Mpwapwa akielezea opereshemi za kusaka waliohusika na mauwaji ya wakulima 9 na mfugaji mmoja wilayani Kiteto, watu 12 tayari wamefikishwa mahakamani kwa mauwaji hayo, yaliyotokea januari 12 mwaka 2014

No comments:

Post a Comment