03 December 2010

Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare akimshukuru na kumpongeza Elifuraha Paul Mtowe mfanyakazi mwanzilishi wa Vodacom katika Kanda ya Kaskazini ya Tanzania ambaye amehusika kwa kiasi kikubwa kufundisha huduma za kampuni hiyo kwa umma, kukuza biashara, kupanua mawasiliano na kuwajengea wakazi wa Kanda ya Kaskazini Imani kwa Vodacom, Kuipenda, Kuiheshimu na Kuitumia kampuni hiyo katika huduma za mawasiliano hali inayoifanya Vodacom kubakia mtandao mkubwa na unaoheshimika kwa Kanda hiyo na Tanzania kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment