03 December 2010

wabunge wa chadema na wanahabari mara baada ya semina ya HIV

 mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema akiwa na mbunge wa viti maalum mkoa wa Arusha, chadema JoyceMukya wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mkoani Arusha mara baada ya kufungua semina ya masuala ya UKIMWI kwa wanahabari ambayo iliandaliwa na kampuni ya MS unique kwa kushirikiana na TASWA Arusha .

No comments:

Post a Comment